arrow_back
All Announcements
weekly
Matangazo ya Kanisa 08 –14 JUNI 2026
calendar_today
June 07, 2026
person
Super Admin
picture_as_pdf
Attachment Available
CuRYgHKEWpjig2XxBdb9b5O1ZaU2AjsM4YPp165u.pdf
VIONGOZI WA ZAMU
08 –14 JUNI 2026
MCHUNGAJI
REV. BRYSON KITOI 0755 641 497
MZEE WA KANISA:
MRS NATUJWA WINZAH
WAZEE NA MAKATIBU WAO WATAKAOKU
WA ZAMU, KUABUDU IBADA ZOTE MBILI
SIKU YA JUMAPILI IJAYO TAREHE
14/06/2026:
MR. ALFA BYAMUNGU
DR. CHRISTIAN MOLLEL
MRS. THERESIA MWABUSILA
MASHEMASI WA ZAMU:
MRS. JENIPHER NTAMBALA
MRS. JESTINA ACHIO
MR. JOACHIM KIMARIO
MRS. JOYCE MONDI
MATANGAZO
Wazee wote wenye mitaa mnahimziwa kutembelea
vituo vyenu vya HBCF ili kujua maendeleo ya vituo
hivyo na kuviimarisha, wakisaidiana na makatibu
pamoja na mashemasi.
Kutakuwa na Ibada ya shukrani ya nusu mwaka pamoja na Ushirika wa meza ya Bwana tarehe 28.06.2026.
Washirika wote tujiandae na ibada hiyo yenye baraka.
Mchungaji kiongozi anakumbusha tena kuwa vijana
ambao wako kwenye mahusiano ya uchumba wasikae
zaidi ya miezi mitatu bila kuonana na Mch. Dickson
Mkoka pia wajitambulishe kwenye kamati ya kushauri
chumba na kuhudhuria kwenye vikao vya chumba.
MICHANGO YA FEDHA ZA UJENZI
1.Kwa neema ya Mungu ujenzi wa kanisa letu unaendelea, hivyo unatiwa moyo wewe uliye ahidi mchango
wa ujenzi kwa awamu hii ya sita B kutoa au kupunguza
ahadi yako ili kazi ya ujenzi iendele. Kumjengea Mungu nyumba ya ibada ni baraka kwako na kwa vizazi
vyako.
2.Unaweza kutuma mchango wako kwenda namba:
015 0020374000 CRDB BANK.
Jina: KINONDONI REVIVAL CHURCH
PAA LA KANISA, MUUJIZA WANGU
TANGAZO IDARA YA WATOTO
Tarehe 12.06.2026 : Mkesha wa kusifu na kuabudu, maombi na kuonyesha vipaji vya watoto na
maombi ya ujazo wa Roho Mtakatifu. Mzazi njoo
tuwaombee watoto wetu chai na maandazi
vitakuwepo
Tarehe 15– 21 Juni 2026 wiki ya Idara ya watoto
na wanafunzi, kutakuwa na makambi hapa kanisani kuanzia saa 8 mchana hadi saa 12 jioni
Ibada ya Jumatano na Ijumaa (HBCF) zitaon
gozwa na Idara ya watoto.Njoo na familia yako
yote upokee kutoka kwa Bwana.
Tarehe 20/6/2026 siku ya kuhitimu kambi watoto
wote watakuja kanisani kuanzia saa tatu asubuhi
hadi saa kumi na moja jioni, chakula cha mchana
kitakuwepo.
Tarehe 21.06.2026 ni kilele cha sikukuu ya watoto, sare ziko tayari (Tshirt) bei ni Tzs 10,000.
TANGAZO LA NDOA
Kwa mara ya tatu tunatangaza harusi kati ya kaka
Jovin Jonathan Jovitha na dada Emiliana Bruno
Kipeto wote ni washirika wa TAG Kinondoni
.Harusi itafanyika siku ya Jumapili tarehe
14/06/2026 hapa kanisani TAG Kinondoni.