MATANGAZO YA WIKI 13—19 JULAI 2026
Attachment Available
13-19-july-2026_20260711_102042.pdf
VIONGOZI WA ZAMU
13—19 JULAI 2026
MCHUNGAJI MCH. WITNESS SWAI 0629 534 530
MZEE WA KANISA: MCH. YOTHAM MACKENZIE
WAZEE NA MAKATIBU WAO WATAKAOKU WA ZAMU, KUABUDU IBADA ZOTE MBILI SIKU YA JUMAPILI IJAYO TAREHE 19/7/2026:
MRS. THERESIA MWABUSILA
MR. MATHIAS MSANGI
MR. JOSEPH MAMUYA
MASHEMASI WA ZAMU:
MR. STEPHANO KAYANA
MISS. TATU HAMISI
MR. TIMOTH ANDERSON
MRS. VICKY ALFAKSA
MATANGAZO
Wazee wote wenye mitaa mnahimziwa kutembelea vituo vyenu vya HBCF ili kujua maendeleo ya vituo hivyo na kuviimarisha, wakisaidiana na makatibu pamoja na mashemasi.
Mchungaji Kiongozi anakumbusha tena kuwa vijana ambao wako kwenye mahusiano ya uchumba wasikae zaidi ya miezi mitatu bila kuonana na Mch. Dickson Mkoka pia wajitambulishe kwenye kamati ya kushauri chumba na kuhudhuria kwenye vikao vya chumba.
MICHANGO YA FEDHA ZA UJENZI
1.Kwa neema ya Mungu ujenzi wa kanisa letu unaendelea, hivyo unatiwa moyo wewe uliye ahidi mchango wa ujenzi kwa awamu hii ya sita B kutoa au kupunguza ahadi yako ili kazi ya ujenzi iendele. Kumjengea Mungu nyumba ya ibada ni baraka kwako na kwa vizazi vyako.
2.Unaweza kutuma mchango wako kwenda namba:
015 0020374000 CRDB BANK.
Jina: KINONDONI REVIVAL CHURCH
PAA LA KANISA, MUUJIZA WANGU
ZAMU ZA MAOMBI YA WATENDAJI
Watendaji wote wa kundi la BETHLEHEMU mtakuwa zamu ya mfungo na maombi siku ya Jumamosi ijayo ya tarehe 18/07/2026. Watendaji wote waliopo maeneo ya Mzee Remigius Ngaiza, Mrs Rhoda Bundara, Mzee Greyson Nyantamba na Dr. Dickson Mkoka.
MKUTANO MKUBWA WA INJILI
Kutakuwa na Mkutano mkubwa wa Injili katika viwanja vya Mwananyamala kwa Kopa kuanzia Tarehe 23—30 August. Washirika wote tunahimizwa kuuombea Mkutano na pia tujipange kushiriki kikamilifu kwa siku zote nane (8) .
TANGAZO LA NDOA
Kwa mara ya pili tunatangaza harusi kati ya kaka Elias John Songa wa TAG Kinondoni na dada Mariana Paul Martin wa Jerusalem Temple Geita Harusi itafanyika Jumapili tarehe 26/07/2026 hapa kanisani TAG Kinondoni.