MATANGAZO YA WIKI 20—26 JULAI 2026
Attachment Available
20-26-july-2026_20260718_190407.pdf
VIONGOZI WA ZAMU 20—26 JULAI 2026
MCHUNGAJI :
MCH. BRYSON KITOI 0755 641 497
MZEE WA KANISA:
MR. REMIGIUS NGAIZA
WAZEE NA MAKATIBU WAO WATAKAOKU WA ZAMU, KUABUDU IBADA ZOTE MBILI SIKU YA JUMAPILI IJAYO TAREHE 26/7/2026:
MRS. RHODA BUNDARA
MCH. GREYSON NYANTAMBA
MR. RODERICK LUTEMBEKA
MASHEMASI WA ZAMU:
MR. WILFRED MAZIKU
MR. WINSTON MALANDA
MRS. YASINTA SWAI
MRS. AGNESS VITALIS
MATANGAZO
Wazee wote wenye mitaa mnahimziwa kutembelea vituo vyenu vya HBCF ili kujua maendeleo ya vituo hivyo na kuviimarisha, wakisaidiana na makatibu pamoja na mashemasi.
Mchungaji Kiongozi anakumbusha tena kuwa vijana ambao wako kwenye mahusiano ya uchumba wasikae zaidi ya miezi mitatu bila kuonana na Mch. Dickson Mkoka pia wajitambulishe kwenye kamati ya kushauri chumba na kuhudhuria kwenye vikao vya chumba.
MICHANGO YA FEDHA ZA UJENZI
Kwa neema ya Mungu ujenzi wa kanisa letu unaendelea, hivyo unatiwa moyo wewe uliye ahidi mchango wa ujenzi kwa awamu hii ya sita B kutoa au kupunguza ahadi yako ili kazi ya ujenzi iendele. Kumjengea Mungu nyumba ya ibada ni baraka kwako na kwa vizazi vyako.'
Unaweza kutuma mchango wako kwenda namba:
015 0020374000 CRDB BANK. Jina: KINONDONI REVIVAL CHURCH
PAA LA KANISA, MUUJIZA WANGU
ZAMU ZA MAOMBI YA WATENDAJI
Watendaji wote wa kundi la YERUSALEM mtakuwa zamu ya mfungo na maombi siku ya Jumamosi ijayo ya tarehe 25/07/2026. Watendaji wote waliopo maeneo ya Mzee Alfa Byamungu, Mr. Joseph Mamuya , Dr. Yotham Mackenzie
MKUTANO MKUBWA WA INJILI
Kutakuwa na Mkutano mkubwa wa Injili katika viwanja vya Mwananyamala kwa Kopa kuanzia Tarehe 23—30 August. Washirika wote tunahimizwa kuuombea Mkutano na pia tujipange kushiriki kikamilifu kwa siku zote nane (8)
TANGAZO LA NDOA
Kwa mara ya tatu tunatangaza harusi kati ya kaka Elias John Songa wa TAG Kinondoni na dada Mariana Paul Martin wa Jerusalem Temple Geita Harusi itafanyika Jumapili tarehe 26/07/2026 hapa kanisani TAG Kinondoni.